leo nimeona nikushirikishe somo hili rahisi, ambalo naamin litakuwa msaada mkubwa kwako. watu wengi tumekuwa tunataman ku reset simu zetu kutokana na matatizo mbalimbali iliwemo kusahau password na mengine mengi. kabla sijaanza somo hili niseme mambo machache.
1. kama unahitaji kujifunza masomo mbalimbali ya computer kwa undan zaidi basi nakushauri jiunge na darasa langu linalopatikana online, kupitia darasa hilo utajifunza masomo mbalimbali kama vile Microsoft Word, Excel, graphics design, jinsi ya kutengeneza blog, jins ya kutengeneza website, jinsi ya kuagiza vitu kutoka china. gharama za masomo haya zinatofautiana kulingana na aina ya somo.
masomo.yote yanatolewa kwa njia ya video hatua kwa hatua, na usipoelewa unaruhusiwa kuuliza chochote.
kama unahitaji nichek kwa email yangu mjuzishule@gmail.com
twende darasani kwa kufuata hatua hizi.
kabla ya kufuata hatua hizi nakukumbusha kwamba hapa tunafuta kila.kitu simu inabaki mpya kama ilivyotoka dukani, kwahyo kama kuna vitu unataka kuhamisha hamisha kabisa.
0 Maoni